Miti inayo tuzunguka, ina nguvu nyingi sana za kiroho. Ukiwa na ufahamu juu ya nguvu za kiroho zinazopatikana ndani ya miti mbalimbali, basi maisha yako ya hapa duniani yatakuwa rahisi sana. Leo nitaelezea miti michache pamoja na nguvu za kiroho iliyo nazo. Unga wa alovera. Huwekwa kwenye chupa maalumu na kufukiwa ama kuzikwa kaburini kwa ajili ya kuwanyamazisha watu wanao zungumza uongo na uovu kuhusu wewe. Unga wa muagrimonia : Unga huu ni moja kati ya dawa zenye nguvu kubwa sana za kiroho, kazi yake kubwa ni kurudisha laana na uchawi kwa mtu aliye utuma kwako. Unga wa mualfafa.
Huwekwa nyumbani kujilinda dhidi ya umasikini na kufilisika, pia huwekwa kwenye chombo maalumu na kisha kwenda nao benki au kwa mtu yoyote Yule kwa ajili ya kupata mkopo wa fedha. Unga wa Mvuaza : Hutumika kwa ajili ya kumpumbaza mtu au kuwapumbaza watu. Husaidia pia kujilinda dhidi ya majambazi na kushinda kesi Unga wa mfausiku : Una matumizi mengi sana si rahisi kuyataja yote hapa. Unga wa mti wa mlufakale. Hutumika kurefusha umri wa kuishi. Hutumiwa sana na wachawi na ndio sababu wachawi wengi huishi miaka mingi sana. Hutumika katika biashara, mapenzi, mahusiano, kazi, uongozi na kadhalika, kwa ajili ya kudumisha jambo lililokusudiwa, yaani kama ni ndoa basi iwe ya kudumu na kama ni mapenzi yawe yadumu na yasife na kama ni biashara iwe ya kudumu na isife. Unga wa mualikani: Kazi kubwa ya dawa hii ni kukomesha uchawi uliotumwa kwako kwa ajili ya kukutia umasikini, kukufilisi au kukusababishia matatizo ya kifedha.
Ngekewa : Ngekewa sio mti, ni manyoya ya mnyama apatikanae porini, mnyama huyu hufanana na Ndezi, au Panya Buku. Manyoya ya mnyama huyu hutumika kuvuta wateja katika biashara na kuongeza bahati katika mambo mbalimbali kama vile sanaa na kadhalika, Unga wa Viungo vya aina zote kama vile karafuu, pilipili manga n.k. matunda mbegu na matunda jamii ya karanga : Hutumika katika tambiko maalumu la kuleta mafanikio katika biashara, pamoja na kuongeza bahati katika biashara . Unga wa mualtea Hutumika kuwaita malaika wazuri katika nyumba, pamoja na kuongeza uwezo wa mtu wa kiroho ama wa kuona mambo yaliyo rohoni. Kwa mfano kama kuna siri Fulani kuhusu mtu Fulani (mathalani mke au mume wako ) unataka kuijua, unachotakiwa ni kutumia unga huu huku ukifanya manuizo maalumu, usiku wa siku hiyo utaonyeshwa siri unazo taka kuzijua kupitia ndoto.
Pia hukupa uwezo wa kun'gamua mahali vilipo vitu vilivyo potea, utakupa uwezo wa kujua mambo yanayo tokea sehemu nyingine. Kwa mfano, wewe unaishi Dar Es salaam, na familia yako inaishi Mbeya, unaweza kujua mambo yanayo endelea huko kupitia nguvu ya unga huu. . Muangelica : Unga wa mti huu husaidia kuwalinda wanawake pamoja na watoto dhidi ya uovu wowote. Wanawake wajawazito wanashauriwa kutumia unga unga huu ili kujilinda dhidi ya jicho ovu. . Muanisi : Ni unga unaotumika kumkinga mtu dhidi ya jicho ovu na uchawi.
Sunday, 4 March 2018
JIFUNZE MITI YENYE UWEZO MKUBWA 01
Tags
Artikel Terkait
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

1 coment�rios so far
Sikuwahi kuamini kitu kama hiki kingeweza kunitokea hadi ndoa yangu ilipokaribia kuisha kabisa.
Mume wangu alibadilika ghafla. Mwanaume ambaye hapo awali alinipenda na kunijali akawa baridi, asiyejali, na mwenye hasira bila sababu. Aliacha kuonyesha nia katika ndoa yetu, akaniepuka kabisa, na hatimaye akaniomba talaka. Nilivunjika moyo kwa sababu nilimpenda mume wangu kwa moyo wangu wote.
Mambo yalizidi kuwa mabaya aliponizuia kila mahali — WhatsApp, Facebook, Instagram — kana kwamba sijawahi kuwepo. Nililia kila usiku nikijiuliza nilifanya nini kibaya.
Siku moja, rafiki wa karibu alinitembelea na kunitambulisha kwa mtu wa kiroho anayeitwa Dkt. Dawn. Kwa kweli, mwanzoni nilikuwa na shaka, lakini niliamua kumweleza kila kitu kwa sababu sikuwa na chochote cha kupoteza.
Dkt. Dawn alinisomea mambo ya kiroho, na nilishtuka. Alifichua siri kuhusu ndoa yangu na maisha yangu binafsi ambayo hakuna mtu aliyejua. Kila kitu alichosema kilikuwa sahihi 100%. Kisha akafichua kwamba mwanamke mwingine alikuwa amemloga mume wangu. Mwanamke huyu alikuwa akimtembelea mara nyingi, na kwa upumbavu niliamini ilikuwa kuhusu kazi tu.
Dkt. Dawn alinisaidia kuvunja uchawi na akafanya ibada yenye nguvu ya kurejesha upendo kwa ndoa yangu.
Kwa mshangao wangu mkubwa, muda mfupi tu baadaye, mume wangu alinifungulia kizuizi mwenyewe na kuanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe mwingi, akiniomba nimsamehe na nirudi nyumbani. Mwanzoni nilimpuuza kwa sababu ya maumivu aliyonisababishia, lakini hatimaye alirudi nyumbani akiwa na zawadi na machozi machoni mwake akiomba nafasi nyingine.
Leo, ndoa yetu ni imara zaidi, yenye furaha zaidi, na yenye amani zaidi kuliko hapo awali. Mapenzi kati yetu yanahisi upya kabisa.
Kana kwamba hiyo haitoshi, Dkt. Dawn baadaye alinisaidia na ibada ya ujauzito kwa sababu tulikuwa tumejitahidi kwa miaka mingi kupata watoto. Ndani ya wiki 8, nilipata mimba kiasili, na leo tumebarikiwa na wavulana wawili wazuri wenye afya njema.
Nitaendelea kushukuru milele.
Ukihitaji: Uchawi wa mapenzi wa kuungana tena na mpenzi wako wa zamani
. Usaidizi wa kurejesha ndoa
. Tamaduni za ujauzito za kupata mimba
. Usaidizi wa kiroho kwa kesi za mahakamani au kupona urithi
. Mwongozo na ulinzi wa kiroho
Ninapendekeza sana Dkt. Dawn. Ushuhuda wangu ni wa kweli, na furaha yangu leo ni uthibitisho. WhatsApp yake: +2349046229159
dawnacuna314@gmail.com
EmoticonEmoticon