Monday, 5 March 2018

FAIDA YA PARACHICHI

Tags

Zifuatazo ni faida za kiafya za maparachichi:

1. Kupunguza Lehemu Mwili
Baadhi ya tafiti zilizofanyika zinaonesha ulaji wa mlo wenye maparachichi kwa wingi kila siku unasaidia kupunguza lehemu mbaya mwilini (LDL cholesterol) na kuongeza lehemu nzuri (HDL cholesterol). Pia matumizi ya parachichi moja kila siku yanasaidia kupunguza lehemu hizi kwa watu wenye uzito mkubwa.

2. Kupunguza Mifupa Kulainika
Vitamini K ni aina ya vitamini ambayo ipo kwa wingi kwenye maparachichi pia. Vitamini hii husaidia unyonywaji wa madini ya Kalsiamu ambayo hujenga mifupa na kuwa imara. Ulaji wa parachichi kila siku au mara kwa mara itakupa madini ya kutosha ya viatmini K ambayo yatasaidia pia unyonywaji wa Kalsiamu. Parachichi moja linakupa kiasi cha asilimia 50 ya mahitaji ya mwili ya Vitamini K kwa siku.

3. Hupunguza Hatari ya Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Damu.
Kwa kupunguza lehemu mbaya na kuondoa sumu mwilini maparachichi husaidia kupunguza hatari ya kupata magonjwa ya moyo na mishipa ya damu kama shambulio la moyo, angina, shinikizo la damu kupanda na mengine mengi. Pia hupunguza hatari ya magonjwa ya muda mrefu kama kisukari.

2 coment�rios

Watch the action unfold from the NBA on YouTube
Watch the action unfold from the NBA convert youtube to mp3 on YouTube. Watch the action unfold from the NBA on YouTube. Watch the action unfold from the NBA on YouTube.

Nataka kutoa ushuhuda kuhusu jinsi nilivyopona kutokana na Virusi vya Herpes. Miezi michache iliyopita nilikuwa na dalili kadhaa. Nilienda kumuona daktari na vipimo vingi vya damu vilifanywa kwangu, baadaye niliambiwa nilikuwa na Herpes. Daktari wangu aliniambia kwamba hakuna tiba ya Herpes. Nilijisikia vibaya, niliingia mtandaoni nikitafuta tiba inayowezekana ya Virusi vya Herpes, niliona chapisho la Dkt. Dawn, daktari wa mitishamba anayewasaidia watu kupona kutokana na Herpes. Saratani. VVU na mengineyo. Niliwasiliana naye na kumwambia jinsi ninavyohisi. Alisema dawa yake ya mitishamba inaweza kuniponya. Alinitumia dawa kupitia huduma ya utoaji wa UPS na nilipokea dawa siku 6 baada ya kuituma, nilichukua dawa kama alivyoniagiza. Kabla sijakamilisha dawa dalili zilisimama. Nilienda kwa daktari na kufanya kipimo kingine cha damu, cha kushangaza nilikuwa hasi. Sijapata dalili tena. Dkt. Dawn ni mzuri na unaweza
kuwasiliana kwenye WhatsApp: +2349046229159
Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )

Ikiwa unahitaji dawa za mitishamba kutibu magonjwa yoyote sugu au ya zinaa kama.
HERPES.
SARATANI.
VVU/UKIMWI na zaidi


EmoticonEmoticon