Fuatilia video hii ili kujifunza................
Home
Archives for 2018
Saturday, 10 March 2018
DAWA YA VIDONDA VYA UTUMBO TIBA AFRIKA
Tags
Fuatilia video hii ili kujifunza................
Wednesday, 7 March 2018
Preventing beans in the beans using medicinal plants
Tags
Kudhibiti wadudu wanaoharibu maharage kwa kutumia Dawa ya Asili ambayo haina madhara
Tuesday, 6 March 2018
JE UNAUJUA MTI AMBAO UNAOA NA MAAJABU MENGI YAKUSHANGAZA?
Tags
Jiepushe na kuupanda mti huu katika nyumba yako inasadikika ni mti ambao una maajabu mengi ya kushangaza ikiwemo swala zima la kuharibu ndoa za watu kwa habari zaidi jionee video hii ili ujifunze zaidi
MMEA WA AJABU KWELI HAYA NI MAAJABU YA MUNGU
Tags
Mmea unaosadikika kuzaa matunda ambayo yanafanana na umbo la mwanamke akiwa mtupu ama
kweli kuishi kwingi ni kuona mengi.
kweli kuishi kwingi ni kuona mengi.
JITIBU MAGONJWA MBALIMBALI KWA KUTUMIA VITU MBALIMBALI VINAVYOKUZUNGUKA
Tags
MAGONJWA NA JINSI YA KUYATIBU
(1)PUMU-
Matumizi;(a)hutibiwa kwa kutumia;simbi zaidi ya 20,ndimu nyingi na
asali.Kunywa mchanganyiko huu kijiko 1 mara3 kwa siku hadi upone.AU kula
vitunguu maji kwa wingi
(b)Pembe ya mbuzi-kausha kisha usage na unga wake changanya na asali na ulambe mara 3 kwa siku
(2)NGUVU ZA KIUME-
Hutibiwa kwa kutumia;
(a)kitunguu swaumu-
Matumizi;ponda na changanya na asali ya njano na ulambe asali hiyo kijiko1 mara3 kwa siku tumia mchanganyiko huu kwa wiki 2.
(b)tende na rose-
matumizi;changanya na maziwa na kisha kunywa wiki1-wiki3.
(c)mchele mkavu-
(d)Tikiti maji,tangawizi,pilipilinafaka halisi,mbogamboga za majani
Matumizi;tafuna mchele kidogo lisaa limoja kabla ya kujamiiana utarudiwa na nguvu zako.
KIFUA/KUKOHOA-
Hutibiwa kwa kutumia mchanganyiko wa;asali,kitunguu maji,kitunguu swaumu na tangawizi;
Matumizi;twanga mchanganyiko huu pamoja kisha ndio utumie.
(3)MAGONJWA YA MOYO-
Matumizi;kunywa juisi ya vitunguu maji kwa wingi.
(4)MAPAFU-
Matumizi;kula zabibu au kunywa juisi yake kwa wingi kila siku.
(5)GESI-
Matumizi;kunywa maji glasi8 au zaidi kwa siku.
(6)MAWE KATIKA KIBOFU CHA MKOJO-
Matumizi;kula chakula kilichopikwa na manjano.
(7)UVIMBE KATIKA SEHEMU ZA SIRI NYUMA-
Matumizi;paka alovera mahali penye uvimbe mara 3 kwa siku.
(8)KUPATA CHOO KIKUBWA-
Matumizi;kunyia chai ya tangawizi
(9)KICHOMI-
Matumizi;kula ndizi mbivu kila siku.
MAJIPU NA VIDONDA VISIVYOPONA-
Matumizi;binzari ya manjano koroga katika maji upate uji mzito kisha
paka sehemu iliyoathirika mara2 kwa siku.AUchanganya zafarani kiasi na
unga wa risasi na weka maziwa ya mbuzi kidogo kisha paka kwenye kidonda.
(10)MAUMIVU MAKALI TUMBONI-
Matumizi;changanya vijiko2 vya tangawizi na castro oil kisha kunywa mara 2 kwa siku.
(11)MIFUPA ILIYOVUNJIKA-
Matumizi;kula nusu nanasi kila siku hadi upone.AU kaanga vitunguu maji na uboho(rojorojo)
(12)MAUMIVU YA VIUNGO/MGONGO-
Vifaa;mafuta ya simsim,haba souda,na pilipili manga
Matumizi;chemsha,chuja na paka kwenye maeneo yanayouma yakiwa na uvuguvugu.
(13)KUTAPIKA DAMU-
Matumizi;weka kuzubara katika siki kali masaa24,ongeza sukari na chuja kisha unywe kutwa mara3
(14)KUSAGA CHAKULA NA KUIMARISHA TUMBO DHAIFU-
Vifaa;habasouda vijiko2, pilipili manga2,karafuu2
Matumizi;changanya kisha kunywa kijiko1 cha chai ndani ya kinywaji chochote cha uvuguvugu
(15)KIFUA/MARADHI-
Vifaa;juisi ya figili kikombe cha kahawa,kijiko kikubwa cha asali
Matumizi;changanya na maji ya moto kikombe cha chai yaache yapoe ndio unywe kutwa mara2 asubuhi na jioni.
(16)KIKOHOZI CHA MUDA MREFU-
Vifaa;khardal,asali safi ya nyuki.
(17)KUONDOA COLESTEROL-
Vifaa;tembe 3,kitunguu swaumu,kijiko1 cha zaatari,maji lita1
Matumizi;chemsha kidogo kunywa kikombe1 mara3 kwa siku.
(18)HIGH BLOOD PRESSURE/LOW BLOOD PRESSURE-
Vifaa;papai na tangawizi
Matumizi;sagapapai na tangawizi kamua juisi yake kunywa kutwa mara2 AU chemsha na kunywa juisi ya mmung'unya mara3 kwa siku
(19)KIKOJOZI-
Vifaa;ufuta mweusi na maziwa
Matumizi;saga ufuta mweusi na unga wake koroga kijiko1 ndani ya maziwa kunya mara2 kwa siku asubuhi na jioni mpaka upone
(20)HEDHI ILIYOKITHIRI/HEDHI KWA WINGI-
Matumizi;koroga unga wa ufuta mweusi ndani ya maji ya moto kisha kunywa
AU chukua unga wa giligilani glasi1 chemsha katika nusu lita ya maji
kisha kunywa nusu glasi mara3 kwa siku.
(21)KISUKARI-
Matumizi;chukua kijiko1 cha mdalasini weka katika kikombe cha kahawa
kunywa kutwa mara3 kwa siku40 AU tengeneza juisi ya bitter gourd kunywa
kila siku
(22)MAUMIVU YA MIGUU NA MAGOTI-
Matumizi;chukua kijiko1 kidogo cha zafarani changanya katika chai ya moto kunywa kutwa mara3
(23)KUZUIA MIMBA KUTOKA-
Matumizi;chukua kijiko 1 cha unga wa amla changanya na asali,kunywa kwa muda wa wiki1
(24)KUACHA SIGARA-
Matumizi;chukua hamira changanya vijiko 2 katika glasi1 ya maji na unywe pamoja na unga wake,kunywa glasi1 kutwa mara3
(25)KICHWA-
Matumizi;kula samaki na tangawizi
(26)KUVIMBIWA-
Matumizi;kula ndizi mbivu
(27)BARIDI YABISI-
Matumizi;kula tangawizi
(28)KIBOFU-
Matumizi;kula kunazi nyekundu
(29)BP-
Matumizi;zabibu nyeusi1kg,giligilani nusu,twanga kisha uchemshe na kunywa nusu glasi mara 3
(30)KWIKWI-
Matumizi;twanga hiliki changanya na maziwa kisha kunywa glasi moja
(31)DEGEDEGE-
Matumizi;ponda vitunguu swaumu kisha mpake mwenye tatizo hilo na uichome na mfukizie
(32)UGONJWA WA KUSAHAU-
Matumizi;chukua zabibu kavu changanya na kungumanga na utafune mara2 kwa siku21
(33)MAWE KATIKA FIGO-
Matumizi;kitunguu maji chekundu,cheupe na njano,kata vipande4 kila
kimoja weka vipande hivyo katika sufuria baada ya kuvisaga acha ichemke
kisha kunywa jusi yake
(34)DAMU PUANI-
Vifaa;siki,limao,chumvi
matumizi;chukua chumvi kijiko kidogo weka katika glasi changanya na siki
mpaka chumvi iyeyuke ,kamulia limao nusu tumia siku3 mpaka 4
mfululizo
TIBA MBADALA KWA KUTUMIA MBOGAMBOGA NA MATUNDA
(1)BOGA-Lina vitamini B kwa wingi
HUTIBU;
a.Huupa mwili nguvu
b.Huondoa tatizo la kufunga choo
c.Hurekebisha utolewaji wa nyongo mwilini
d.Huongeza nguvu za kiume
e.Husaidia kuvunja nguvu za sumu mwilini
f.Husaidia kupata mkojo hivyo kusafisha figo
g.Husaidia kuondoa mawe kwenye figo(Kidney stone)
h.Linafaa kwa wagonjwa wa kisukari
i.Husaidia kuimarisha glandi za kiume zitoazo mbegu za uzazi(PROSTATE GLAND
MAANDALIZI
-Chukua boga lililokomaa na katakata lisage kwenye blender(kama huna
blender waweza kuliponda kwenye kinu safi na likishalainika ongeza maji
kidogo kusudi upate juice yake.Wakati unakamua juice usiondoe mbegu na
kiini.
NB.MAANDALIZI HAYA HUTEGEMEA UGONJWA UNAOTAKA KUUTIBU
(2)KAROTI-Ina vitamini nyingi mbalimbali
HUTIBU;
a.kulainisha tumbo
b.Inapigana na kutibu upungufu wa damu
c.Inasafisha damu
d.Inasaidia kutibu uvimbe wa saratani
e.Inatibu baridi yabisi
f.Inatibu chunusi,vidonda tumbo,koo,macho na kibofu
MAANDALIZI;
-Chukua karoti kilo1 ponda iwe laini na kisha uchemshe kwa dakika 15
ndani ya maji lita 1 na nusu au mbili chuja,kunywa juisi yake kwa kutibu
vidonda tumbo au saratani ya tumbo,saratani ya kizazi tumia nusu
kikombe cha chai miezi 3 mpaka 6,kwa kurembesha uso nawia juisi yake
kila asubuhi mfululizo kwa siku 5.
(3)UNGA WA MKAA-
Unaweza kupata kupata kutoka kwenye mti wa mkuyu,kifuu cha nazi,msonobari au mkaratusi
INATIBU;
a.Kuumwa na nyoka
b.Kunywa sumu
c.Uvimbe
d.Kutapika,kiungulia,macho,kuharisha na kuhara damu ,kusaga chakula,vidonda tumbo,tindikali na kuungua
MAANDALIZI
a.Choma kifuu cha nazi hadi kiwe mkaa
b.Saga uwe unga(kwa miti tumia magome)
-Chukua kijiko 1 kikubwa cha unga na koroga katika maji safi ya kunywa
ya vuguvugu kikombe 1 kunywa kabla ya kula kwa kutibu vidonda
tumbo,kutoa asidi
KUUMWA NYOKA-
-Shona kifuko cha kitambaaa.
-Chota unga wa mkaa kijiko kikubwa na uweke ndani ya kifuko na tia maji
kidogo na ufunge na nyingine ndani ya maji vuguvugu kikombe 1 uwe kama
uji na umpe anywe kwa mtu aliyekunywa sumu tumia njia hiyo ya kunywa
MACHO-
-Weka katika kifuko kama hapo juu na ufunge kwenye jicho ,fanya hivyo kwa siku 3 mfululizo wakati wa usiku.
(4)GILIGILANI-
Inatibu tumbo,moyo na hedhi nk
MAANDALIZI
-Vijiko 2 vikubwa vya giligilani iliyosagwa ndani ya maji lita 1 kisha
chemsha kwa dakika 10 na kunywa nusu kikombe kutwa mara 3 kwa siku 5
(5)NYONYO-
-Majani yanatibu kifua kikuu na uvimbe wa miguu
-Mizizi ni dawa ya mafindofindo,macho ya njano,uvimbe,kisonono na kaswende
-Kikonyo chake ni dawa ya kwikwi-jaza maji ya baridi katika kikombe cha
chai na kikonyo mpe mgonjwa anywe kila baada ya dakika 3 mpaka kwikwi
iishe
-Kunywa punje yake na maji glasi kwa siku kwa muda wa siku 5 inatibu MOTODASI AU MOTO WA MUNGU
-Tumia majani kwa kupasha moto na kufungia miguu inayouma au kukandia miguu inayouma
-Kwa magonjwa ya zinaa kama kisonono na kaswende mizizi kiasi na chemsha
ndani ya maji nusu lita kisha kunywa kikombe cha chai kutwa mara 3 kwa
muda wa siku 5
(6)SWAUMU-
HUTIBU
a.Kuumwa kichwa
b.Kibofu cha mkojo
c.Matatizo katika damu,chunusi nk
d.Macho kutoona vizuri,pumu,figo,ukurutu(fungus),baridi yabisi,majipu nk
NAMNA YA KUITUMIA KUTIBU BAADHI YA MAGONJWA;
A.Shinikizo la damu:Tumia juisi ambayo waweza kuichanganya kwenye saladi kama chakula cha pembeni
MAANDALIZI
-Menya chengachenga za kitunguu swaumu zipatazo 10-30 na kuziponda na
zikishalainika na kutoa maji kaua juisi yake na uweke kwenye chombo
kisafi
-Chukua malimao 2 au 3 uyakamue upate juisi yake na ulichanganye na ile
ya kitunguu swaumu na uiache usiku kucha na asubuhi koroga vizuri na
anza kuitumia kwa kunywa kijiko 1 cha chai kila baada ya saa moja na
hakikisha hukiachi kijiko hicho ndani ya juisi kwani hutengeneza
sumu.Magonjwa ya kichwa pia hutibiwa kwa njia hii kama unataka kuitumia
kutibu magonjwa kwa muda mrefu waweza kuichemsha na kuiweka katika chupa
safi pindi inapopoa na utumie kikombe cha chai kila asubuhi na jioni na
pia waweza kutumia saladi yake wakati wa chakula.
B.Ukurutu(fungus)-
-Twanga kitunguu swaumu na weka kwenye eneo lililoathirika na uifungie
kwa bandeji na kuacha kwa nusu saa na endelea kufanya hivyo kwa muda wa
wiki mbili hii ni pamoja na magonjwa ya ngozi
C.Vidonda mdomoni,mafindofindo,kuharisha,maumivu ya tumbo na kunyonga-
-Kwa matatizo mengine ya kifua kula kikonyo kimoja cha kitunguu swaumu kutwa mara tatu kulingana na ukubwa wa kitunguu.
(7)NANASI-
-Nanasi lina vitamini A,B,C pia lina madini ya chuma ,calcium, na copper
ambayo ni muhimu kwenye mifupa,meno,neva na misuli(MUSCELS)
HUTIBU;
a.Matatizo mbalimbali ya tumbo,magonjwa ya bandama(SPILEN),ini,utumbo
mwembamba,homa,magonjwa ya midomo(VIDONDA),magonjwa ya koo,ugonjwa wa
kusahau,maradhi ya akili,hali ya kukosa mori(LOW SPIRIT)
b.Aidha nanasi huondoa matatizo ya wanawake ambayo husababishwa na
upungufu wa shughuli za homoni au makosa fulani katika sehemu ya yai
,huondoa shida ya kufunga choo,baridi yabisi,upungufu wa damu(ANEMIA) na
maambukizo kwenye maungio ya mifupa(ARTHRITIS).Aidha kwa kula au kunywa
juisi ya nanasi husaidia akina mama wanaonyonyesha walio na maziwa
kidogo na hata wale wajawazito wanashauriwa kutumia mananasi
-Pia ni kichocheo kizuri katika kupona haraka kwa mifupa iliyovunjika.
BIRINGANYA(EGGS PLANTS)-
-Tunda la biringanya ukilipika kama mboga linatibu vidonda tumbo na
linasaidia kupata usingizi.Kwa wale wenye tatizo la kukosa usingizi
(INSOMNIA)wanashauriwa kula biringanya kwa wingi.
-Biringanya huharakisha kupona magonjwa na kuleta afya nzuri
mwilini.Ikumbukwe kuwa usingizi ni kitu muhimu sana kwa afya ya mwili wa
binadamu na ustawi wake.
-Kwa kutumia tunda hili kama mboga katika mlo ulao husaidia kunenepesha
kwa wale wanaotaka kunenepa.hakikisha katika mlo ulapo na ufurahie
chakula unachokila kila siku ,tumia kwa muda wa mwezi mmoja utaona
matokeo yake.
Monday, 5 March 2018
FAIDA YA PARACHICHI
Tags
Zifuatazo ni faida za kiafya za maparachichi:
1. Kupunguza Lehemu Mwili
Baadhi ya tafiti zilizofanyika zinaonesha ulaji wa mlo wenye maparachichi kwa wingi kila siku unasaidia kupunguza lehemu mbaya mwilini (LDL cholesterol) na kuongeza lehemu nzuri (HDL cholesterol). Pia matumizi ya parachichi moja kila siku yanasaidia kupunguza lehemu hizi kwa watu wenye uzito mkubwa.
2. Kupunguza Mifupa Kulainika
Vitamini K ni aina ya vitamini ambayo ipo kwa wingi kwenye maparachichi pia. Vitamini hii husaidia unyonywaji wa madini ya Kalsiamu ambayo hujenga mifupa na kuwa imara. Ulaji wa parachichi kila siku au mara kwa mara itakupa madini ya kutosha ya viatmini K ambayo yatasaidia pia unyonywaji wa Kalsiamu. Parachichi moja linakupa kiasi cha asilimia 50 ya mahitaji ya mwili ya Vitamini K kwa siku.
3. Hupunguza Hatari ya Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Damu.
Kwa kupunguza lehemu mbaya na kuondoa sumu mwilini maparachichi husaidia kupunguza hatari ya kupata magonjwa ya moyo na mishipa ya damu kama shambulio la moyo, angina, shinikizo la damu kupanda na mengine mengi. Pia hupunguza hatari ya magonjwa ya muda mrefu kama kisukari.
1. Kupunguza Lehemu Mwili
Baadhi ya tafiti zilizofanyika zinaonesha ulaji wa mlo wenye maparachichi kwa wingi kila siku unasaidia kupunguza lehemu mbaya mwilini (LDL cholesterol) na kuongeza lehemu nzuri (HDL cholesterol). Pia matumizi ya parachichi moja kila siku yanasaidia kupunguza lehemu hizi kwa watu wenye uzito mkubwa.
2. Kupunguza Mifupa Kulainika
Vitamini K ni aina ya vitamini ambayo ipo kwa wingi kwenye maparachichi pia. Vitamini hii husaidia unyonywaji wa madini ya Kalsiamu ambayo hujenga mifupa na kuwa imara. Ulaji wa parachichi kila siku au mara kwa mara itakupa madini ya kutosha ya viatmini K ambayo yatasaidia pia unyonywaji wa Kalsiamu. Parachichi moja linakupa kiasi cha asilimia 50 ya mahitaji ya mwili ya Vitamini K kwa siku.
3. Hupunguza Hatari ya Magonjwa ya Moyo na Mishipa ya Damu.
Kwa kupunguza lehemu mbaya na kuondoa sumu mwilini maparachichi husaidia kupunguza hatari ya kupata magonjwa ya moyo na mishipa ya damu kama shambulio la moyo, angina, shinikizo la damu kupanda na mengine mengi. Pia hupunguza hatari ya magonjwa ya muda mrefu kama kisukari.
KUPATA UJAUZITO KWA IDHINI YA ALLAH IN SHAA ALLAH.
Tags
KUKOMAZA MBEGU ZA MWANAUME ILI AWEZE KUTUNGISHA UJAUZITO
MAHITAJI
01. UBANI DHUKRA ROBO
02. ZAATARI ROBO
03.SHOMARI ROBO
Zitwange dawa hizo vizuri kisha chukua kipimo cha robo robo na uchanganye;
Chukua kijiko kimoja cha dawa hyo kwa maziwa vuguvugu glass moja kutwa mara mbili;
Utadumu kunywa hivyo kwa muda wa siku 21
FAIDA
Kwa MWANAMKE ambaye mirija yake ya uzazi IMEZIBA na kusababisha kutoshika ujauzito achukue 100gm za dawa hii iliyochanganywa vizuri kisha achemshe kwa maji lita moja na nusu
Anywe dawa hyo nusu kikombe kutwa mara tatu siku 11 , basi mirija ITAZIBUKA na atapata UJAUZITO IN SHAA ALLAH.
MAHITAJI
01. UBANI DHUKRA ROBO
02. ZAATARI ROBO
03.SHOMARI ROBO
Zitwange dawa hizo vizuri kisha chukua kipimo cha robo robo na uchanganye;
Chukua kijiko kimoja cha dawa hyo kwa maziwa vuguvugu glass moja kutwa mara mbili;
Utadumu kunywa hivyo kwa muda wa siku 21
FAIDA
Kwa MWANAMKE ambaye mirija yake ya uzazi IMEZIBA na kusababisha kutoshika ujauzito achukue 100gm za dawa hii iliyochanganywa vizuri kisha achemshe kwa maji lita moja na nusu
Anywe dawa hyo nusu kikombe kutwa mara tatu siku 11 , basi mirija ITAZIBUKA na atapata UJAUZITO IN SHAA ALLAH.
Sunday, 4 March 2018
JIFUNZE MITI YENYE UWEZO MKUBWA 03
Tags
ULIMI WA KULUNGU
Hutumika kumfanya mtu akupende, na pia kumpata mwenzi wa maisha. . MPOPOSHETANI : Hutumika kutoa kinga ya nguvu dhidi ya uovu mkubwa, pia hutumika kama sadaka kwa mashetani na mizimu. . MKAMBASHETANI : Hukulinda dhidi ya kugeukwa na kusengenywa, husaidia pia katika kamari pamoja na kupata kazi.
MDILILI : Husaidia kuwarejesha pamoja wapenzi au wanandoa walio tenganishwa kwa uchawi. Pia huwasaidia wanaume ambao nguvu. . MDITANIKRETE : Ukifanikiwa kumlisha dawa hii mtu unayetaka akupende, basi hatoweza kukuacha mpaka siku atakayo ingia kaburini. . MDAMUYANYOKA : Hutumika katika tambiko la kuvuta utajiri. . MOSHIWADUNIA : Hutumika kuvuta wateja katika biashara na pia kuongeza mafanikio ya kibiashara na kifedha. . MU-UAZEE : Unga unga wa dawa hii ukinyunyiziwa kwenye mali au nyumba, husaidia kukulinda dhidi ya wahalifu. . MTIHAMABA : Hutumika kumvuta mpenzi unayemtaka.
MKARATUSI : Hutumika kuwafukuza watu wabaya nyumbani na kwenye biashara, pia hutumika kumsafisha mtu aliyekumbwa na jinni la "Upepo Mbaya" Hiyo ni baadhi tu ya miti yenye nguvu za kiroho ambayo unaweza kuitumia kwa matumizi mbalimbali, kama nilivyo onyesha hapo juu. Ipo miti mingine mingi sana.
Asanteni na Mungu awabariki amiin.
Hutumika kumfanya mtu akupende, na pia kumpata mwenzi wa maisha. . MPOPOSHETANI : Hutumika kutoa kinga ya nguvu dhidi ya uovu mkubwa, pia hutumika kama sadaka kwa mashetani na mizimu. . MKAMBASHETANI : Hukulinda dhidi ya kugeukwa na kusengenywa, husaidia pia katika kamari pamoja na kupata kazi.
MDILILI : Husaidia kuwarejesha pamoja wapenzi au wanandoa walio tenganishwa kwa uchawi. Pia huwasaidia wanaume ambao nguvu. . MDITANIKRETE : Ukifanikiwa kumlisha dawa hii mtu unayetaka akupende, basi hatoweza kukuacha mpaka siku atakayo ingia kaburini. . MDAMUYANYOKA : Hutumika katika tambiko la kuvuta utajiri. . MOSHIWADUNIA : Hutumika kuvuta wateja katika biashara na pia kuongeza mafanikio ya kibiashara na kifedha. . MU-UAZEE : Unga unga wa dawa hii ukinyunyiziwa kwenye mali au nyumba, husaidia kukulinda dhidi ya wahalifu. . MTIHAMABA : Hutumika kumvuta mpenzi unayemtaka.
MKARATUSI : Hutumika kuwafukuza watu wabaya nyumbani na kwenye biashara, pia hutumika kumsafisha mtu aliyekumbwa na jinni la "Upepo Mbaya" Hiyo ni baadhi tu ya miti yenye nguvu za kiroho ambayo unaweza kuitumia kwa matumizi mbalimbali, kama nilivyo onyesha hapo juu. Ipo miti mingine mingi sana.
Asanteni na Mungu awabariki amiin.
JIFUNZE MITI YENYE UWEZO MKUBWA 02
Tags
MFILIMBIBARAKA :
Huchanganywa na maji na kisha kuzungushiwa kwenye nyumba kwa ajili ya kuiepusha nyumba na uchawi/wachawi na watu waouvu kama vile majambazi nakadhalika. Hutumika kuhamisha nyumba kichawi nyakati za usiku. Mara nyingi hutumiwa na watu wanao fanya kazi za ulinzi. Husaidia pia kuwapumbaza watu wanao kuja kufanya uovu nyumbani kwako. Hawataiona nyumba yako, wataipitiliza au hawatafika kabisa.
MDAMUDAMU : Husaidia kuimarisha uhusiano kati ya ndugu wa damu. Hutumika pia katika kiapo cha kuwaweka pamoja wanandoa au wapenzi wanao taka kuingia katika ndoa.
MMBULUKOSHI : Hutumika kuwalinda watu pamoja na nyumba dhidi ya uovu na watu wabaya.
MMBULUBENDERA : Hutumika kulinda mashamba dhidi ya wanyama waharibifu pamoja na wachawi.
MBODODO : Husaidia kuwarudisha mapepo wabaya kwa mtu aliye watuma, kukukinga dhidi ya mapepo wabaya na uchawi wa aina yoyote ile, pia kuwazuia watu usio wahitaji wasije kwako. Vile vile katika biashara hukusaidia kuwazuia wateja wabaya (bad customers ) wasije kwenye biashara yako. Hapa maana yake ni kwamba, utakuletea wateja w azuri tu , yaani wateja wenye uwezo wa kununua bidhaa zako ama kumudu gharama ya huduma zako. ( WATEJA WABAYA NI WATEJA WASIO WEZA KUNUNUA BIDHAA ZAKO AMA WALE WASIO WEZA KUMUDU GHARAMA ZA HUDUMA YAKO ).
MNYOKA MWEUPE : Huitwa MnyokaMweupe kutoka na kutengeneza umbo kama la nyoka, uwapo porini kabla hauja vunwa. Kazi yake kuu ni kutoa magonjwa ya kurogwa, kutoa vitu vichafu tumboni ( kama umelishwa vitu vichafu ). Pia ukichanjiwa mti huu inasaidia kukukinga dhidi ya nyoka. Vilevile kama unaishi kwenye eneo ambalo kuna majani mengi, unashauriwa kumwaga unga unga wa mti huu walau mara moja kwa wiki, hii husaidia kuwakimbiza nyoka.
MBORAGUA : Hutumika kujenga amani, upendo na ushirikiano katika familia, pia huifanya nyumba kuwa yenye amani, na kuvutia wageni wazuri. MRIJAUFAGIO : Kazi kubwa ya mti huu ni kuondoa uchawi na wachawi kwenye nyumba, kuwafukuza na kuwazuia wageni wasio hitajika nyumbani pamoja na kukulinda na uovu.
MKALAMUSI a.k.a MKATAKESI : Mti huu una uwezo na nguvu za ajabu sana katika kuwasaidia watu kushinda kesi mahakamani au kazini. MKALENDULA : Kazi ya mti huu kama ilivyo kwa MKALAMUSI ni kusaidia kushinda kesi mahakamani pamoja na kuongeza uwezo kutoa unabii na kuona mambo yaliyo fichika ukiwa ndotoni.
MKARAWEI : Hutumika katika kutoa ulinzi pamoja na kuwalinda watoto wadogo dhidi ya uovu na uchawi na kuwafanya wakue vizuri. . MKADAMONI : Hutumika kumfanya mtu asiye mpenzi wako avutiwe kimapenzi na wewe, na atamani kufanya mapenzi na wewe. . MKASKARA: Husaidia kuleta na kuongeza bahati njema na pia kukusaidia kushinda kesi mahakamani.
MKATINIPU : Hutumika kuukamata moyo na nafasi ya mpenzi wako na kumfanya kuwa mtumwa kwako. . MSIDA : Hutumika katika kuchora alama maalumu kwa ajili ya kumfanya mtu asiye hitajika aondoke kwa amani bila kukubughudhi. Mti huu hutumika katika uchawi maarufu uitwao SUKNHU ambao hutumiwa sana na wazigua huko mkoani Tanga. Katika uchawi huu kama kuna mtu ahitajiki mahali, basi litafanywa tambiko maalumu kwa ajili ya kumfanya mtu huyo aondoke mwenyewe bila kufukuzwa. . MSELENDINI : Hutumika kuimarisha nguvu na maono ya kiroho na pia kukupa uwezo wa kuota ndoto za kinabii ama kuona mambo yaliyo fichika kupitia ndoto au kuona mambo yatakayo tokea baadaye kupitia ndoto.
Kama wewe ni mtu unaye safari mara mara kwa mara unashauriwa kuwa na unga wa mti huu, kwani utakusaidia kubaini kama safari yako itakuwa salama ama si salama siku moja kabla ya safari. . MMANZANILA : Hutumika katika kamari na bahati nasibu. . MCHERIGAMBA : Husaidia katika kuimarisha upendo, mahaba, mvuto wa kimapenzi na unyumba. . Mdalasini : Husaidia kuusafisha mwili na kuongeza bahati na mvuto. . MCHIA : Husaidia kuzuia usengenyaji pamoja na kuwabaini watu wanao kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. ( wanafiki ) . MDAMIANA : Hutumika kumpata mpenzi mpya, kuimarisha mvuto wa kimapenzi pamoja na kumrudisha mpenzi aliye ondoka.
Huchanganywa na maji na kisha kuzungushiwa kwenye nyumba kwa ajili ya kuiepusha nyumba na uchawi/wachawi na watu waouvu kama vile majambazi nakadhalika. Hutumika kuhamisha nyumba kichawi nyakati za usiku. Mara nyingi hutumiwa na watu wanao fanya kazi za ulinzi. Husaidia pia kuwapumbaza watu wanao kuja kufanya uovu nyumbani kwako. Hawataiona nyumba yako, wataipitiliza au hawatafika kabisa.
MDAMUDAMU : Husaidia kuimarisha uhusiano kati ya ndugu wa damu. Hutumika pia katika kiapo cha kuwaweka pamoja wanandoa au wapenzi wanao taka kuingia katika ndoa.
MMBULUKOSHI : Hutumika kuwalinda watu pamoja na nyumba dhidi ya uovu na watu wabaya.
MMBULUBENDERA : Hutumika kulinda mashamba dhidi ya wanyama waharibifu pamoja na wachawi.
MBODODO : Husaidia kuwarudisha mapepo wabaya kwa mtu aliye watuma, kukukinga dhidi ya mapepo wabaya na uchawi wa aina yoyote ile, pia kuwazuia watu usio wahitaji wasije kwako. Vile vile katika biashara hukusaidia kuwazuia wateja wabaya (bad customers ) wasije kwenye biashara yako. Hapa maana yake ni kwamba, utakuletea wateja w azuri tu , yaani wateja wenye uwezo wa kununua bidhaa zako ama kumudu gharama ya huduma zako. ( WATEJA WABAYA NI WATEJA WASIO WEZA KUNUNUA BIDHAA ZAKO AMA WALE WASIO WEZA KUMUDU GHARAMA ZA HUDUMA YAKO ).
MNYOKA MWEUPE : Huitwa MnyokaMweupe kutoka na kutengeneza umbo kama la nyoka, uwapo porini kabla hauja vunwa. Kazi yake kuu ni kutoa magonjwa ya kurogwa, kutoa vitu vichafu tumboni ( kama umelishwa vitu vichafu ). Pia ukichanjiwa mti huu inasaidia kukukinga dhidi ya nyoka. Vilevile kama unaishi kwenye eneo ambalo kuna majani mengi, unashauriwa kumwaga unga unga wa mti huu walau mara moja kwa wiki, hii husaidia kuwakimbiza nyoka.
MBORAGUA : Hutumika kujenga amani, upendo na ushirikiano katika familia, pia huifanya nyumba kuwa yenye amani, na kuvutia wageni wazuri. MRIJAUFAGIO : Kazi kubwa ya mti huu ni kuondoa uchawi na wachawi kwenye nyumba, kuwafukuza na kuwazuia wageni wasio hitajika nyumbani pamoja na kukulinda na uovu.
MKALAMUSI a.k.a MKATAKESI : Mti huu una uwezo na nguvu za ajabu sana katika kuwasaidia watu kushinda kesi mahakamani au kazini. MKALENDULA : Kazi ya mti huu kama ilivyo kwa MKALAMUSI ni kusaidia kushinda kesi mahakamani pamoja na kuongeza uwezo kutoa unabii na kuona mambo yaliyo fichika ukiwa ndotoni.
MKARAWEI : Hutumika katika kutoa ulinzi pamoja na kuwalinda watoto wadogo dhidi ya uovu na uchawi na kuwafanya wakue vizuri. . MKADAMONI : Hutumika kumfanya mtu asiye mpenzi wako avutiwe kimapenzi na wewe, na atamani kufanya mapenzi na wewe. . MKASKARA: Husaidia kuleta na kuongeza bahati njema na pia kukusaidia kushinda kesi mahakamani.
MKATINIPU : Hutumika kuukamata moyo na nafasi ya mpenzi wako na kumfanya kuwa mtumwa kwako. . MSIDA : Hutumika katika kuchora alama maalumu kwa ajili ya kumfanya mtu asiye hitajika aondoke kwa amani bila kukubughudhi. Mti huu hutumika katika uchawi maarufu uitwao SUKNHU ambao hutumiwa sana na wazigua huko mkoani Tanga. Katika uchawi huu kama kuna mtu ahitajiki mahali, basi litafanywa tambiko maalumu kwa ajili ya kumfanya mtu huyo aondoke mwenyewe bila kufukuzwa. . MSELENDINI : Hutumika kuimarisha nguvu na maono ya kiroho na pia kukupa uwezo wa kuota ndoto za kinabii ama kuona mambo yaliyo fichika kupitia ndoto au kuona mambo yatakayo tokea baadaye kupitia ndoto.
Kama wewe ni mtu unaye safari mara mara kwa mara unashauriwa kuwa na unga wa mti huu, kwani utakusaidia kubaini kama safari yako itakuwa salama ama si salama siku moja kabla ya safari. . MMANZANILA : Hutumika katika kamari na bahati nasibu. . MCHERIGAMBA : Husaidia katika kuimarisha upendo, mahaba, mvuto wa kimapenzi na unyumba. . Mdalasini : Husaidia kuusafisha mwili na kuongeza bahati na mvuto. . MCHIA : Husaidia kuzuia usengenyaji pamoja na kuwabaini watu wanao kupaka mafuta kwa mgongo wa chupa. ( wanafiki ) . MDAMIANA : Hutumika kumpata mpenzi mpya, kuimarisha mvuto wa kimapenzi pamoja na kumrudisha mpenzi aliye ondoka.
JIFUNZE MITI YENYE UWEZO MKUBWA 01
Tags
Miti inayo tuzunguka, ina nguvu nyingi sana za kiroho. Ukiwa na ufahamu juu ya nguvu za kiroho zinazopatikana ndani ya miti mbalimbali, basi maisha yako ya hapa duniani yatakuwa rahisi sana. Leo nitaelezea miti michache pamoja na nguvu za kiroho iliyo nazo. Unga wa alovera. Huwekwa kwenye chupa maalumu na kufukiwa ama kuzikwa kaburini kwa ajili ya kuwanyamazisha watu wanao zungumza uongo na uovu kuhusu wewe. Unga wa muagrimonia : Unga huu ni moja kati ya dawa zenye nguvu kubwa sana za kiroho, kazi yake kubwa ni kurudisha laana na uchawi kwa mtu aliye utuma kwako. Unga wa mualfafa.
Huwekwa nyumbani kujilinda dhidi ya umasikini na kufilisika, pia huwekwa kwenye chombo maalumu na kisha kwenda nao benki au kwa mtu yoyote Yule kwa ajili ya kupata mkopo wa fedha. Unga wa Mvuaza : Hutumika kwa ajili ya kumpumbaza mtu au kuwapumbaza watu. Husaidia pia kujilinda dhidi ya majambazi na kushinda kesi Unga wa mfausiku : Una matumizi mengi sana si rahisi kuyataja yote hapa. Unga wa mti wa mlufakale. Hutumika kurefusha umri wa kuishi. Hutumiwa sana na wachawi na ndio sababu wachawi wengi huishi miaka mingi sana. Hutumika katika biashara, mapenzi, mahusiano, kazi, uongozi na kadhalika, kwa ajili ya kudumisha jambo lililokusudiwa, yaani kama ni ndoa basi iwe ya kudumu na kama ni mapenzi yawe yadumu na yasife na kama ni biashara iwe ya kudumu na isife. Unga wa mualikani: Kazi kubwa ya dawa hii ni kukomesha uchawi uliotumwa kwako kwa ajili ya kukutia umasikini, kukufilisi au kukusababishia matatizo ya kifedha.
Ngekewa : Ngekewa sio mti, ni manyoya ya mnyama apatikanae porini, mnyama huyu hufanana na Ndezi, au Panya Buku. Manyoya ya mnyama huyu hutumika kuvuta wateja katika biashara na kuongeza bahati katika mambo mbalimbali kama vile sanaa na kadhalika, Unga wa Viungo vya aina zote kama vile karafuu, pilipili manga n.k. matunda mbegu na matunda jamii ya karanga : Hutumika katika tambiko maalumu la kuleta mafanikio katika biashara, pamoja na kuongeza bahati katika biashara . Unga wa mualtea Hutumika kuwaita malaika wazuri katika nyumba, pamoja na kuongeza uwezo wa mtu wa kiroho ama wa kuona mambo yaliyo rohoni. Kwa mfano kama kuna siri Fulani kuhusu mtu Fulani (mathalani mke au mume wako ) unataka kuijua, unachotakiwa ni kutumia unga huu huku ukifanya manuizo maalumu, usiku wa siku hiyo utaonyeshwa siri unazo taka kuzijua kupitia ndoto.
Pia hukupa uwezo wa kun'gamua mahali vilipo vitu vilivyo potea, utakupa uwezo wa kujua mambo yanayo tokea sehemu nyingine. Kwa mfano, wewe unaishi Dar Es salaam, na familia yako inaishi Mbeya, unaweza kujua mambo yanayo endelea huko kupitia nguvu ya unga huu. . Muangelica : Unga wa mti huu husaidia kuwalinda wanawake pamoja na watoto dhidi ya uovu wowote. Wanawake wajawazito wanashauriwa kutumia unga unga huu ili kujilinda dhidi ya jicho ovu. . Muanisi : Ni unga unaotumika kumkinga mtu dhidi ya jicho ovu na uchawi.
Huwekwa nyumbani kujilinda dhidi ya umasikini na kufilisika, pia huwekwa kwenye chombo maalumu na kisha kwenda nao benki au kwa mtu yoyote Yule kwa ajili ya kupata mkopo wa fedha. Unga wa Mvuaza : Hutumika kwa ajili ya kumpumbaza mtu au kuwapumbaza watu. Husaidia pia kujilinda dhidi ya majambazi na kushinda kesi Unga wa mfausiku : Una matumizi mengi sana si rahisi kuyataja yote hapa. Unga wa mti wa mlufakale. Hutumika kurefusha umri wa kuishi. Hutumiwa sana na wachawi na ndio sababu wachawi wengi huishi miaka mingi sana. Hutumika katika biashara, mapenzi, mahusiano, kazi, uongozi na kadhalika, kwa ajili ya kudumisha jambo lililokusudiwa, yaani kama ni ndoa basi iwe ya kudumu na kama ni mapenzi yawe yadumu na yasife na kama ni biashara iwe ya kudumu na isife. Unga wa mualikani: Kazi kubwa ya dawa hii ni kukomesha uchawi uliotumwa kwako kwa ajili ya kukutia umasikini, kukufilisi au kukusababishia matatizo ya kifedha.
Ngekewa : Ngekewa sio mti, ni manyoya ya mnyama apatikanae porini, mnyama huyu hufanana na Ndezi, au Panya Buku. Manyoya ya mnyama huyu hutumika kuvuta wateja katika biashara na kuongeza bahati katika mambo mbalimbali kama vile sanaa na kadhalika, Unga wa Viungo vya aina zote kama vile karafuu, pilipili manga n.k. matunda mbegu na matunda jamii ya karanga : Hutumika katika tambiko maalumu la kuleta mafanikio katika biashara, pamoja na kuongeza bahati katika biashara . Unga wa mualtea Hutumika kuwaita malaika wazuri katika nyumba, pamoja na kuongeza uwezo wa mtu wa kiroho ama wa kuona mambo yaliyo rohoni. Kwa mfano kama kuna siri Fulani kuhusu mtu Fulani (mathalani mke au mume wako ) unataka kuijua, unachotakiwa ni kutumia unga huu huku ukifanya manuizo maalumu, usiku wa siku hiyo utaonyeshwa siri unazo taka kuzijua kupitia ndoto.
Pia hukupa uwezo wa kun'gamua mahali vilipo vitu vilivyo potea, utakupa uwezo wa kujua mambo yanayo tokea sehemu nyingine. Kwa mfano, wewe unaishi Dar Es salaam, na familia yako inaishi Mbeya, unaweza kujua mambo yanayo endelea huko kupitia nguvu ya unga huu. . Muangelica : Unga wa mti huu husaidia kuwalinda wanawake pamoja na watoto dhidi ya uovu wowote. Wanawake wajawazito wanashauriwa kutumia unga unga huu ili kujilinda dhidi ya jicho ovu. . Muanisi : Ni unga unaotumika kumkinga mtu dhidi ya jicho ovu na uchawi.
MSHALESHALE : Ukichanganywa na unga unga wa kiberiti, unga wa mti huu una nguvu za jabu sana kwa watu wanao jihusisha na kamari pamoja na bahati nasibu. . KINYESI CHA SHETANI : Unga unga wa mti huu unatumika katika kujikinga na kujiepusha na magonjwa mbalimbali, kujikinga dhidi ya laana na ulozi, pamoja na kusaidia katika kesi. . UNGA WA MBAMUGILE : Husaidia kuwapatanisha wapenzi walio achana na kuwafanya wasiachane tena. . UNGA WA MBABELI : Hutumika kuumwaga katika njia wanazo pita adui zako na kuwafanya wasikutafute tena. Ni dawa nzuri sana ya kujikinga dhidi ya maadui. Hutumika pia kwa kuchanjia. . MNYOKA MWEUSI : Unaitwa mnyoka mweusi kwa sababu unakopatikana porini huwa na umbo kama la nyoka mweusi. Ni miongoni mwa miti yenye nguvu kubwa sana za kiroho ( spiritual powers ). Husaidia kutoa ulinzi na pia hutumika katika uponyaji. Watu wengi wanaotumia miujiza ya uponyaji hutumia mti huu hapa. Una uwezo wa kuponya magonjwa mbalimbali ikiwa ni pamoja na yale ya kichawi.
MAAJABU YA MTI HUU NI HATARI.
Tags
MKUNAZI – MTI KIBOKO YA MAJINI NA MASHWETANI
Unaweza ukajiuliza Mkunazi ni nini? Je, ni sababu zipi zikaufanya mti huu kuwa wa kipekee tofauti na mingine? Unapoongelea Mkunazi ni ule mti ambapo Allah ameuita Sidrat L Muntaha – mti unaomaliza mambo yote au mwisho wa mambo.
KWA NINI MAJINI NA WACHAWI HAWAPENDI MTI HUU?
Mti huu huwa unapendwa sana kukaliwa na malaika wakubwa kama RAUQAYAAIL, SAMSAMAAIL, GHANAAIL, ISRAHAMAAH, DARDAAIL.
Majini wote waasi na wachawi huwa wanapofika mahali penye mti wa mkunazi hawawezi kukaa wala kusimama mahala hapo na ndiyo maana Mkunazi unapo kuwepo basi katika nyumba hiyo huwa hafiki mchawi wala shetani.
FAIDA YA MKUNAZI
Majani yake ukiloweka na kuogea iwapo utasomea aya za qur aan basi utaepukwa na kukaliwa mbali majini aina 10 wakorofi ambao ni
Jalwush
Ummu muldami
Ankis
Ghaughaan
Bedui bidwaan
Makata wa makatani
Maymuna l hind’
Zawaabil
Atruush
Subyaan
Majini hao kamwe hawata mdhuru tena mtu iwapo atafanyia kisomo maalum cha KHAWAATIMU katika maji yaliyo lowekwa majani ya mkunazi.
2.Pia majani ya mkunazi iwapi unaumwa KIFUA SUGU lakini si pumu, chemsha pamoja na ndimu kisha unywe kwa siku 14 utapona.
3.Kama unawangiwa au kutembelewa na wachawi mara kwa mara basi chukua majani ya Mkunazi.
Weka HAIJALI na FAYJALI loweka pamoja na usomee kisomo cha KHAWAATIMU, kisha umwage ndani ya nyumba au shamba na wachawi hawatokujia tena kukudhuru.
4.Tabia ya mti huu ni ajabu sana kama ulivyo mti wa MZAYTUNI, mtu mwenye roho mbaya akipanda basi mti huu hauoti na mchawi akipita katika eneo lenye mti huo, basi ajue mtukuta asubuhi, na hatoondoka mpaka wachawi wenzake waje wamlipishe faini.
UJUE MTI WA MUAROBAINI VIZURI.
Tags
Mwarobaini (Azadirachta indica) ni mti unaofahamika kwa uwezo wake wa kutibu magonjwa ya aina mbalimbali. Inaaminika kuwa mti huu umetoka huko India na Burma. Mwarobaini hushamiri zaidi katika nchi za tropiki na una uwezo mkubwa wa kuhimili ukame.
Jina “mwarobaini” linatokana na imani kuwa mti huu una uwezo wa kutibu magonjwa yapatayo arobaini. Majani na mbegu ya mwarobaini imekuwa ikitumiwa kama tiba kwa miaka maelfu huko nchini India na hivi sasa inatumiwa katika sehemu mbalimbali duniani likiwemo bara la Afrika.
Wanasayansi wa nchi za Magharibi hutumia pia mti huu kwenye tiba na utafiti. Mwanzoni mwa mwaka 2005, serikali ya India ilipeleka kesi mahakamani kupinga hatua ya mamlaka ya leseni ya Ulaya (European Patent Office) kutoa leseni kwa Wizara ya Kilimo ya Marekani na kampuni ya kimataifa ya WR Grace kumiliki haki ya kutengeneza na kuuza dawa ya ukungu inayotokana na mwarobaini.
Kati ya magonjwa ambayo mti huu umetumika kutibu au kupoza ni matatizo ya kusaga chakula tumboni, kisukari, kansa, magonjwa ya ngozi, malaria, ukungu (fungus), n.k. Matawi yake hutumiwa kama mswaki na magome yake hutumiwa kama dawa ya kusafisha meno.
Mafuta ya mbegu ya mwarobaini hutumika kutengenezea vipodozi na sabuni. Kiziduo cha mbegu au mafuta yake hutumiwa kama dawa ya kuulia wadudu wanaoharibu.
TIBA YA MUARUBAINI
1.TIBA hii hutunza meno na kuondoa harufu mbaya mdomoni. Kwa watu wanaopenda kula vitu vyenye sukari kama maziwa na mikate ambavyo vikiganda mdomoni husababisha sukari na kuathiri. Wapenzi na wapenda soda ambazo zina kiasi kikubwa cha sukari, wanatakiwa kutumia mwarobaini.
Miswaki: Tumia tawi dogo kutoka kwenye mti huu ambalo lina kemikali ya asili na kusafisha au kutunza fizi za meno.
Magamba ya mwarobaini hutumiwa kutengeneza baadhi ya dawa za meno zinazouzwa madukani.
2. Hutunza ngozi
Mwarobaini ni mzuri katika kutibu magonjwa mengi ya ngozi yanayoambukiza na yasiyoambukiza.
Unaweza pia kuutumia katika kutibu madhara yatokanayo na chakula au dawa.
Oga: Kwa asili, Wahindi wengi huoga maji ya moto yaliyolowekwa majani ya mwarobaini ili kuweka kinga kwenye ngozi zao.
Mafuta: Chukua gramu 100 za mafuta ya ngozi ya kawaida uongeze gramu 10 za mafuta ya mwarobaini, paka utaona mafanikio.
3.Vidonda vya kuungua vilivyochunika:
Chukua majani ya mwarobaini kiganja kimoja kisha changanya na maji lita moja, chemsha kwa dakika 20. Baada ya hapo chuja yakiwa bado ya moto kisha yapooze, osha sehemu iliyoungua. Maji haya yanasaidia kuzuia maambukizi.imea shambani.
TIBA YA MUARUBAINI
1.TIBA hii hutunza meno na kuondoa harufu mbaya mdomoni. Kwa watu wanaopenda kula vitu vyenye sukari kama maziwa na mikate ambavyo vikiganda mdomoni husababisha sukari na kuathiri. Wapenzi na wapenda soda ambazo zina kiasi kikubwa cha sukari, wanatakiwa kutumia mwarobaini.
Miswaki: Tumia tawi dogo kutoka kwenye mti huu ambalo lina kemikali ya asili na kusafisha au kutunza fizi za meno.
Magamba ya mwarobaini hutumiwa kutengeneza baadhi ya dawa za meno zinazouzwa madukani.
2. Hutunza ngozi
Mwarobaini ni mzuri katika kutibu magonjwa mengi ya ngozi yanayoambukiza na yasiyoambukiza.
Unaweza pia kuutumia katika kutibu madhara yatokanayo na chakula au dawa.
Oga: Kwa asili, Wahindi wengi huoga maji ya moto yaliyolowekwa majani ya mwarobaini ili kuweka kinga kwenye ngozi zao.
Mafuta: Chukua gramu 100 za mafuta ya ngozi ya kawaida uongeze gramu 10 za mafuta ya mwarobaini, paka utaona mafanikio.
3.Vidonda vya kuungua vilivyochunika:
Chukua majani ya mwarobaini kiganja kimoja kisha changanya na maji lita moja, chemsha kwa dakika 20. Baada ya hapo chuja yakiwa bado ya moto kisha yapooze, osha sehemu iliyoungua. Maji haya yanasaidia kuzuia maambukizi.imea shambani.
MAAJABU YA ASALI NA MDALASINI.
Tags
Asali inafahamika vema Duniani kote kama mojawapo ya silaha ya kiajabu katika kupigana na magonjwa na matatizo yatokanayo na uzee.
Sasa hivi, utafiti mpya umeonyesha kwamba uwezo wa asali unaweza kuongezwa maradufu kama itachanganywa na mdalasini wa kawaida.
Uchunguzi wa kina ufanywao kwa wiki na jarida la World News wa Tiba, wataalamu wa madawa yatokanayo na mimea pamoja na kijarida cha afya na lishe, imeonekana kwamba kuna dazani nyingi za umuhimu wa asali na mdalasini pamoja na michanganyiko {dawa} ya kusisimua iletayo afya bora.
Kama ifuatayo:
1. Ugonjwa wa Viungo/Maumivu na Uvimbe {ARTHRITIS}.
Wataalamu wa lishe wanapendekeza kuchukua kwa kutumia mchanganyiko wa sehemu moja ya asali pamoja na sehemu mbli za maji vuguvugu na kijiko kimoja {cha chai} chenye mdalasini - na kuchua sehemu zilizoathirika. Nafuu hupatikana katika muda wa dakika moja.
Vinginevyo tengeneza chai-kikombe kimoja chenye maji moto, weka vijiko vya chakula -viwili vya asali kwa kijiko cha chai cha mdalasini. Kunywa asubuhi na jioni ili kuondoa maumivu.
Katika tafiti iliyofanyika hivi karibuni na chuo kikuu kimoja huko Copenhagen, madaktari waliwapa wagonjwa 200, {syrup} mchanganyiko wa kijiko kimoja 'cha chai' cha asali na kimoja cha mdalasini kila asubuhi kabla ya kifungua kinywa. Asilimia 73% yao waliripoti nafuu kubwa ya maumivu yao na ongezeko katika kufanya shughuli kama kujongea na kutembea vyema.
2. Kukatika kwa nywele {HAIR LOSS}
Asali ikishachanganywa na mdalasini pamoja na mafuta vuguvugu ya olive, hutoa kichocheo maridhawa cha kuotesha nywele kinachotumika katika dawa ya Dork. Mchanganyiko huo vuguvugu unapakwa kwa kusugua kichwani na kuachwa kwa dakika 15.
3. Ukungu wa miguuni {FUNGUS}
Changanya kijiko kikubwa cha mezani cha asali, vijiko viwili vya mdalasini {vya chai}. Pakaa sehemu zilizoathirika usiku kwa muda wa nusu saa, kisha safisha kwa sabuni na maji. Shida yako itakwisha kwenye kipindi cha wiki moja.
4. Maamhukizo kwenye kihofu cha mkojo {BLADDER INFECTION}
Bilauri ya maji vuguvugu yaliyochanganywa na vijiko viwili {vya chai} vya mdalasini na kijiko kimoja {cha chai} cha asali huondoa bacteria kwenye kibofu. Unaweza ukatumia juisi ya cranberry badala ya maji ikiwa ambukizo la kibofu linakuwa sugu.
5. Maumivu ya jino {TOOTHACHE}.
Changanya sehemu tano za asali, na sehemu moja ya mdalasini na tumia kwa maumivu ya jino.
Dondoshea kwenye jino au meno yaliyoathirika hadi maumivu yatakapotoweka.
6. Vidonda vitokanavyo kwa mgonjwa kulala kwa muda mrefu {CANKER
SORES}.
Saladi ya kupaka vidonda iliyochanganywa na asali pamoja na mdalasini kwenye chai ya raspberry nyekundu ni dawa nzuri ya kuondoa maumivu makali ya canker sores.
7. Helemu {CHOLESTERAL}
Kipimo cha helemu cha watu waliokuwa na afya nzuri {katika jaribio} kilishuka kwa wastani wa asilimia 10 katika muda pungufu ya masaa mawili baada ya kunywa bilauri moja {ounce 16} yenye vijiko viwili vikubwa vya mdalasini iliyochanganywa na chai ya moto. Kinywaji hiki kutwa mara tatu kilifanya kazi nzuri ya kushusha kiwango cha helemu mwilini.
Madhara yaletwayo na vyakula vyenye mafuta yanaweza kudhbitiwa kwa matumizi ya mara kwa mara ya chai hii pamoja na chakula chako. Hii imeripotiwa na mtafiti maarufu Dr Alexander Andreyed na Eric Vogelmann.
Ugunduzi wao uliyakinishwa kwenye jarida mashuhuri la kitiba la Denmark July 1994. vilevile/ aidha uchunguzi mwingine ulibayanishwa kutoa matumizi ya kila siku ya asali safi hupunguza viwango vya helemu.
8. Mafua {COLDS}
Mafua yameshaeleweka ya kwamba hupotea/huondoka baada ya masaa machache baada ya waathirika kutumia kijiko kimoja {cha mezani} cha asali vuguvugu iliyochanganywa na robo kijiko{cha chai} cha mdalasini, mchanganyiko huu ni mahususi katika kusaidia kuondoa chafya na kuvimba koo.
9. Ugumba {INFERTILITY}
Asali inaaminika kuamsha nyege na wapenzi wa jinsia zote mbili wanashauriwa kunywa angalau vijiko viwili {vya mezani} kila siku kabla ya muda wa kulala {usiku}.
Saturday, 3 March 2018
NJIA NZURI YA KUONDOA SUMU MWILINI.
Tags
Mwili wa binadamu unaweza kupatwa na sumu au takataka zisizohitajika kwa namna mbili, kupitia mazingira tunayoishi kama vile viwanda, migodi na maeneo mengine hatarishi ama kupitia vyakula na vinywaji ambavyo tunatumia kila siku.
Vilevile sumu au takamwili, zinaweza kuingia mwilini kupitia dawa mbalimbali hasa tunazotumia kujitibu magonjwa mbalimbali.
Mwili unapoingiwa na sumu au takataka zisizohitajika na zikazidi mwilini unaweza ukapata madhara mbalimbali kama vile uchovu sugu, maumivu ya viungo, kuumwa kichwa kila mara, tumbo kujaa gesi
-Kufunga choo au kupata choo kigumu, kukosa utulivu, kuishiwa nguvu, kupenda kula kula kila mara pamoja na matatizo mbalimbali ya ngozi ikiwemo chunusi.
Zifuatazo ni namna au njia zinazoweza kupunguza sumu mwilini kama siyo kuondoa kabisa.
Fanya mlo wako mmoja wa siku kuwa ni matunda pekee
Amua moja ya mlo wako kwa siku uwe ni matunda pekee bila chakula kingine zaidi. Unaweza kuamua ama chakula cha asubuhi au cha jioni kuwa ni matunda pekee. Pia utumie maji ama juisi kama kinywaji chako.
Kula vyakula vya asili zaidi kuliko vya viwandani
Ili kuepuka sumu au takataka nyingine kirahisi kuingia katika mwili, basi pendelea kula vyakula vya asili vinavyopikwa nyumbani na sio vya kwenye makopo ama madukani.
Fanya masaji
Wengi tunaichukulia masaji kama kitu cha starehe tu (relaxation) lakini unaweza kutumia masaji kama njia mojawapo ya kuondoa sumu mwilini na utafanikiwa kwa muda mfupi sana.
Kunywa maji mengi kila siku
Sababu kubwa ya watu wengi kutengeneza sumu au taka mwilini mwao ni kutokunywa maji mengi kila siku. Maji ni muhimu katika maisha yetu na inashauriwa utumie zaidi ya lita 3 kwa siku. Kumbuka asilimia 94 ya damu yako imeundwa na maji, asilimia 85 ya ubongo wako ni maji, hivyo ili kusafisha damu na mwili kwa ujumla ni lazima unywe maji ya kutosha kila siku.
Epuka chai ya rangi na Kahawa
Epuka kunywa chai ya rangi ama kahawa na badala yake tumia chai yenye tangawizi, mdalasini au mchaichai. Chai ya rangi na kahawa vina kafeini (Caffein) ambayo hukausha maji mwilini kwa haraka (dehidration) na kuuacha mwili bila kuwa na maji ya kutosha kwa ajili ya kazi zake.
Fanya mazoezi ya viungo
Mazoezi ya viungo ni jambo la muhimu na la ulazima kama ilivyo chakula. Iwe unaumwa au huumwi, iwe una uzito kuzidi au una uzito wa kawaida hakikisha unapata muda wa kufanya mazoezi.Hakikisha jasho linakutoka la kutosha na iwe ni jambo la kila mara na siyo unaenda jumamosi na jumapili (weekend) tu, hiyo haitoshi, fanya mazoezi mara 4 mpaka mara 5 kwa wiki.
Kula zaidi vyakula vyenye nyuzinyuzi
Vyakula vyenye nyuzinyuzi nyingi ni pamoja na parachichi, ndizi, peazi, karoti, pilipili hoho, mchele wa brown (ule wanashauriwa watu wa kisukari wautumie), maharage meusi, njegere, tende, viazi vitamu, tufaa (apple), machungwa, ugali wa dona pia mkate wa unga wa ngano ambao haujakobolewa.
Pata usingizi wa kutosha kila siku
Moja ya vitu vinaweza kukupelekea kuwa na sumu mwilini au takataka nyingi ni pamoja na kutokulala muda wa kutosha kila siku. Usingizi haukopwi na huwezi kuwa na ufanisi katika kazi zako kama hupati usingizi wa kutosha kila siku.Unapopata muda wa kutosha wa kulala masaa 7 mpaka 8 kwa siku unaupa mwili wako nafasi ya kutosha ya kupumzika na kujiripea upya na hivyo ndivyo sumu na takataka nyingine zinavyoweza kukutoka kirahisi.
Epuka mazingira hatarishi na yenye sumu
Kuna mazingira yanajulikana wazi kuwa ni vyanzo vya sumu mwilini. Maeneo ya migodi ya madini, maeneo yenye viwanda vingi, maduka yanayouza dawa za kilimo nk.Maeneo haya yanafaa kukaa mbali na makazi ya binadamu kwa usalama wa afya zetu.
Ukizingatia haya, utakuwa umejiweka katikahali nzuri ya kupunguza sumu ndani ya mwili wako na hivyo kukuwezesha kuishi maisha yenye furaha na kwa muda mrefu zaidi.
MTI WA MLONGE AU MORINGA NA MAAJABU YAKE.
Tags
1. Karibu kila sehemu ya mti wa Moringa inatumika au inalika kama chakula. Majani ndio sehemu kuu ya mti wa Moringa, unaweza kuyala yakiwa mabichi au yakiwa yamepikwa kama mboga yoyote ya majani, na pia unaweza ukayakausha na kuyahifadhi kama unga-unga kwa miezi mingi huku ukitumia kama kiungo kwenye mboga na mchuzi.
Pia majani yanaweza kutumika kama lishe bora ya mifugo.
Utafiti wa kisayansi umeonyesha kuwa majani ya Moringa ni chanzo kikubwa cha virutubishi vingi sana. Virutubishi hivi ni pamoja na;
Vitamini C - Kirutubishi hiki ni muhimu katika kutengeneza kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali. Kiwango chake katikamajani ya Moringa ni zaidi ya mara saba ya ile inayopatikana kutoka kwenye machungwa.
Calcium (madini chuma) - Kirutubishi hiki ni muhimu katika kuimarisha pamoja na kujenga mifupa na meno mwilini. Kiwango chake katika majani ya Moringa nimara nne zaidi ya yale yanayopatikana kutoka kwenye maziwa.
Protini - Kirutubishi hiki ni muhimu katika kujenga mwili na kuimarisha ngozi. Kiwango chake katika majani ya Moringa ni mara mbili zaidi ya ile inayopatikana kutoka kwenye maziwa.
Vitamini A - Kirutubishi hiki ni muhimu katika kuimarisha macho na kuongeza uwezo wa kuona. Kiwango chake katika majani ya Moringa ni mara nne zaidi ya ile inayopatikana kutoka kwenye Karoti.
Potassium - Kirutubishi hiki ni muhimu katika kujenga na kuupatia mwili nguvu. Kiwango chake katika majani ya Moringa ni mara tatu zaidi ya ile ipatikanayo kutoka kwenye ndizi. Maua ya Moringa yamejaliwa madini chuma (calcium) na Potassium kwa wingi na yanaweza kuchemshwa au kupikwa na kuliwa kama mboga.
2. Mboga
Majani ya Moringa huliwa kama mboga nyingine za majani kwa mfano mchicha. Majani yanaweza kuvunwa wakati wa kiangazi ambapo mboga nyingine hazipatikani. Pia matunda mateke ya Moringa huweza kutumika kama mboga, hutayariswa kama maharage mabichi (machanga). Matunda yalikomaa hutoa mbegu ambazo zinaweza kutumika kama njegere au kukaangwa kama karanga.
3. Mafuta
Mafuta kutoka kwenye mbegu za mti wa Moringa huweza kutumika katika kupikia na kuwasha katika nyumba. Pia hutumika sana kwenye viwanda katika utengenazaji wa sabuni na bidhaa za urembo. Mafuta hukamuliwa kutoka kwenye mbegu kama ambavyo alizeti hukamuliwa.
4. Lishe ya Mifugo
Majani ya Moringa huliwa na ng'ombe, mbuzi, kondoo, sungura na kuku. Mbegu huliwa na kuku pamoja na wanyama wengine kwenye jamii ya ndege.
5. Pambo la nyumba
Mti wa Moringa hupandwa kwa wingi kwenye bustani kama ua au mti wa kivuli na hutumika katika upambaji. Pia miti ya moringa ikipandwa karibu karibu inaweza kutumika kama fensi.
6. Chanzo cha kipato
Mti wa Moringa ukitumiwa vizuri ni chanzo kizuri cha kipato. Mfano ni uuzaji wa miche ya mti wa moringa na utengenezaji wa bidhaa zitokanazo na moringa.
7. Tiba mbadala
Moringa ni mti muhimu sana katika utabibu kama tiba mbadala, majani, maua, mbegu na mizizi yake hutumika sana katika kutibu magonjwa mbalimbali..
Majani
Majani mabichi ya Moringa ni mazuri kwa kina mama wajawazito na wenye kunyonyesha, huongeza wingi wa maziwa na hushauriwa kwa kutibu Anaemia.
Juisi ya majani ya Moringa hutumika kusafisha tumbo na hutibu magonjwa ya zinaa. Juisi ikichanganywa na asali inatibu kuharisha.
Pia juisi ina uwezo wa kusawazisha presha (BP) na kudhibiti viwango vya sukari kwa wagonjwa wenye
kisukari.
Majani pia huweza kupakwa mwilini katika kutibu majipu na maambukizi ya ngozi.
Mbegu
Mbegu za mti wa Moringa ni kinga dhidi ya vijidudu (bacteria) wasababishao magonjwa na kuathiri ngozi.
Pia mbegu hutuminka katika kusafisha au kuchuja maji ambapo zikipondwa na kuwekwa kwenye maji yenye tope au machafu husababisha uchafu kujikusanya na kuzama chini kisha kuacha maji yakiwa safi na salama kwa kupikia au kunywa baada ya kuchemsha.
Magome
Magome ya mti wa Moringa hupondwa na kuwa rojorojo kisha hutumika kutibu majipu pia hupakwa ili kupunguza maumivu yatokanayo na kung'atwa na wadudu kama nyoka na nge.
Pia majani yanaweza kutumika kama lishe bora ya mifugo.
Utafiti wa kisayansi umeonyesha kuwa majani ya Moringa ni chanzo kikubwa cha virutubishi vingi sana. Virutubishi hivi ni pamoja na;
Vitamini C - Kirutubishi hiki ni muhimu katika kutengeneza kinga ya mwili dhidi ya magonjwa mbalimbali. Kiwango chake katikamajani ya Moringa ni zaidi ya mara saba ya ile inayopatikana kutoka kwenye machungwa.
Calcium (madini chuma) - Kirutubishi hiki ni muhimu katika kuimarisha pamoja na kujenga mifupa na meno mwilini. Kiwango chake katika majani ya Moringa nimara nne zaidi ya yale yanayopatikana kutoka kwenye maziwa.
Protini - Kirutubishi hiki ni muhimu katika kujenga mwili na kuimarisha ngozi. Kiwango chake katika majani ya Moringa ni mara mbili zaidi ya ile inayopatikana kutoka kwenye maziwa.
Vitamini A - Kirutubishi hiki ni muhimu katika kuimarisha macho na kuongeza uwezo wa kuona. Kiwango chake katika majani ya Moringa ni mara nne zaidi ya ile inayopatikana kutoka kwenye Karoti.
Potassium - Kirutubishi hiki ni muhimu katika kujenga na kuupatia mwili nguvu. Kiwango chake katika majani ya Moringa ni mara tatu zaidi ya ile ipatikanayo kutoka kwenye ndizi. Maua ya Moringa yamejaliwa madini chuma (calcium) na Potassium kwa wingi na yanaweza kuchemshwa au kupikwa na kuliwa kama mboga.
2. Mboga
Majani ya Moringa huliwa kama mboga nyingine za majani kwa mfano mchicha. Majani yanaweza kuvunwa wakati wa kiangazi ambapo mboga nyingine hazipatikani. Pia matunda mateke ya Moringa huweza kutumika kama mboga, hutayariswa kama maharage mabichi (machanga). Matunda yalikomaa hutoa mbegu ambazo zinaweza kutumika kama njegere au kukaangwa kama karanga.
3. Mafuta
Mafuta kutoka kwenye mbegu za mti wa Moringa huweza kutumika katika kupikia na kuwasha katika nyumba. Pia hutumika sana kwenye viwanda katika utengenazaji wa sabuni na bidhaa za urembo. Mafuta hukamuliwa kutoka kwenye mbegu kama ambavyo alizeti hukamuliwa.
4. Lishe ya Mifugo
Majani ya Moringa huliwa na ng'ombe, mbuzi, kondoo, sungura na kuku. Mbegu huliwa na kuku pamoja na wanyama wengine kwenye jamii ya ndege.
5. Pambo la nyumba
Mti wa Moringa hupandwa kwa wingi kwenye bustani kama ua au mti wa kivuli na hutumika katika upambaji. Pia miti ya moringa ikipandwa karibu karibu inaweza kutumika kama fensi.
6. Chanzo cha kipato
Mti wa Moringa ukitumiwa vizuri ni chanzo kizuri cha kipato. Mfano ni uuzaji wa miche ya mti wa moringa na utengenezaji wa bidhaa zitokanazo na moringa.
7. Tiba mbadala
Moringa ni mti muhimu sana katika utabibu kama tiba mbadala, majani, maua, mbegu na mizizi yake hutumika sana katika kutibu magonjwa mbalimbali..
Majani
Majani mabichi ya Moringa ni mazuri kwa kina mama wajawazito na wenye kunyonyesha, huongeza wingi wa maziwa na hushauriwa kwa kutibu Anaemia.
Juisi ya majani ya Moringa hutumika kusafisha tumbo na hutibu magonjwa ya zinaa. Juisi ikichanganywa na asali inatibu kuharisha.
Pia juisi ina uwezo wa kusawazisha presha (BP) na kudhibiti viwango vya sukari kwa wagonjwa wenye
kisukari.
Majani pia huweza kupakwa mwilini katika kutibu majipu na maambukizi ya ngozi.
Mbegu
Mbegu za mti wa Moringa ni kinga dhidi ya vijidudu (bacteria) wasababishao magonjwa na kuathiri ngozi.
Pia mbegu hutuminka katika kusafisha au kuchuja maji ambapo zikipondwa na kuwekwa kwenye maji yenye tope au machafu husababisha uchafu kujikusanya na kuzama chini kisha kuacha maji yakiwa safi na salama kwa kupikia au kunywa baada ya kuchemsha.
Magome
Magome ya mti wa Moringa hupondwa na kuwa rojorojo kisha hutumika kutibu majipu pia hupakwa ili kupunguza maumivu yatokanayo na kung'atwa na wadudu kama nyoka na nge.
PUNGUZA UZITO KWA NJIA NYEPESI BILA MADHARA.
Tags
01.ASALI
02.MDALASINI
chemsha Asali na Unga wa Mdalasini katika kikombe kimoja cha maji. Unywe kila siku asubuhi, kabla ya kula chochote na usiku kabla ya kulala. Hupunguza uzito hata wa mtu mnene sana, pia unashauriwa unywe mara kwa mara ili kuzuia mafuta mwilini hata kama mtu atakula chakula chenye mafuta mengi.
JUICE YA LIMAO NA ASALI.
Uhalisia juu ya unene.
Unene unasababishwa na mambo mengi yakiwemo
Tabia ya ulaji zaidi ya mwili unavyohitaji, mwili baada ya kuchukua hitajii lake huifadhi mabaki kama fat (mafuta) kadili unavyokula zaidi vyakula vya mafuta ndivyo unavyooongeza mafuta.
Kutofanya mazoezi ya kutosha
Mfumo wa umengenyaji chakula kutofanya kazi vizuri
Kula vyakula vinavyozozolotesha uharakishwaji wa mfumo wa umengenywaji kama maziwa au nyakati za usiku. au kupenda kunya maji ya baridi baada ya chakula N.k
Asali na limao zote zinakemikali itayokusaidi kurahisisha umengenywaji kufanyika haraka hivyo utaweza kusikia njaa baada ya muda Fulani (huwenda ikawa ni mapema kuliko kawaida). Ikiwa utaendelea kula kila usikiapo njaa tiba hii haiwezai kukusaidia lolote.
Nilazima wakti Fulani tumbo lako liwe
tupu ili mwili utumie ziada ya chakula ulichohifadhi kama fat (mafuta).
Pia juice ya limao na asali zote zinasaidia kuifanya fati iliyopo mwilini mwako kutumika, utakuwa unajisikia njaa zizuie kula kila mara pia zizuie kula vyakula nyenye fati nyingi kama chipsi nyama choma ya mbuzi , supu etc
Faida nyingine ya juce ya limao na asali zinasaidia kuuwa bacteria ambao kwa namna moja au nyingie wanadhorotesha mfumo wa chakula na utoaji taka kufanya kazi vizuri. Kuvisaidia kufanya kazi vizuri kunya maji ya kutosha ikiwezekana ya vuguvugu.
Karibu kwenye blog ya Mimea yetu kwa tiba za magonjwa mbalimbali
Tags
Karibu sana kwenye blog ya Mimea yetu upate elimu juu ya tiba za magonjwa mbalimbali kwa kutumia mimea na vitu asilia.
Ukiwa na Tangazo unataka tukutangazie kwenye blog hii ni bei ndogo sana wasiliana nasi kwa haraka kupitia email hii issakasansaaa@gmail.com utajibiwa kwa haraka sana. Unachotakiwa ni kuelezea nini unataka kutangaza mfano kutangaza biashara, Huduma au kutangaza blog au website ili ijulikane na watu wengi zaidi.
Vitu vizuri share na marafiki. Watumie marafiki anwani ya blog hii ambayo ni mimeayetu.blogspot.com watumie kwenye magroup ya whatsapp facebook na kwingineko ili nao waje kufaidika na habari zinazoandikwa kwenye blog hii ya kwanza kwa kutoa habari za kweli. Ukiwa na maoni comment hapa chini. Karibu sana.
Ukiwa na Tangazo unataka tukutangazie kwenye blog hii ni bei ndogo sana wasiliana nasi kwa haraka kupitia email hii issakasansaaa@gmail.com utajibiwa kwa haraka sana. Unachotakiwa ni kuelezea nini unataka kutangaza mfano kutangaza biashara, Huduma au kutangaza blog au website ili ijulikane na watu wengi zaidi.
Vitu vizuri share na marafiki. Watumie marafiki anwani ya blog hii ambayo ni mimeayetu.blogspot.com watumie kwenye magroup ya whatsapp facebook na kwingineko ili nao waje kufaidika na habari zinazoandikwa kwenye blog hii ya kwanza kwa kutoa habari za kweli. Ukiwa na maoni comment hapa chini. Karibu sana.
Subscribe to:
Posts (Atom)